BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
tigo
nimeongeza buku,wakanipa dakika mbili na secunde 30 kupiga mitandao mengine,nimepiga kwenda voda wamenikata na leo sio mara ya kwanza.jamani tukifungia macho wizi kama huu(ambao sio mdogo ukiangalia tigo wana wateja wangapi ni pesa nyingi sana zinaibiwa hapa),sikumoja tuwe vichaa wote tunachagua sema tarehe 02.10.2011 wote tunaacha kutumia line za tigo tuwape hasara kwa siku mbili nchi mzima.tuwaonyeshe kama hawawezi kutoa huduma nzuri tuhame..
Usitumie line ya tigo ifikapo tarehe 02.10.2011
tunaweza wateja wote wa tigo..hadi wajirekebishe.
nimeongeza buku,wakanipa dakika mbili na secunde 30 kupiga mitandao mengine,nimepiga kwenda voda wamenikata na leo sio mara ya kwanza.jamani tukifungia macho wizi kama huu(ambao sio mdogo ukiangalia tigo wana wateja wangapi ni pesa nyingi sana zinaibiwa hapa),sikumoja tuwe vichaa wote tunachagua sema tarehe 02.10.2011 wote tunaacha kutumia line za tigo tuwape hasara kwa siku mbili nchi mzima.tuwaonyeshe kama hawawezi kutoa huduma nzuri tuhame..
Usitumie line ya tigo ifikapo tarehe 02.10.2011
tunaweza wateja wote wa tigo..hadi wajirekebishe.