The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,393
- 12,977
Tarehe 9 December ni sherehe ya Uhuru wa Tanganyika. Lakini tangu tuungane na Zanzibar Tanganyika itilikufa. Sasa kuna haja gani ya kusherehekea hii siku. Je tunaposherehekea kwa nini huwa hatuitaji Tanganyika?? Next year najua kutakuwa na mnuso wa nguvu Bongo na Balozi zote kwa ajili ya miaka 50. Je waalikwa wataambiwa wanakuja kusherehekea sherehe ya nchi gani hasa Tanganyika au TZ bara (nchi ambayo haipo). Naomba kuwasilisha.