KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 841
- 175
TAREHE 7 JULAI RASMI SIKU YA KISWAHILI DUNIANI
1/2 Mkutano Mkuu wa 41 wa #UNESCO umeipitisha tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani.
Azimio hilo limepitishwa na nchi zote wanachama wa UNESCO bila kupingwa, leo tarehe 23 Novemba, 2021, Paris nchini Ufaransa.
Tuko pamoja; na kama watahitaji walimu nipo tayari kujitolea kufanikisha hilo.
Limepitishwa Azimio hilo jana 23/11/2021; EAC, COMESA, SADC, ECOWAS na AU changamkeni kutimiza jukumu hili.
1/2 Mkutano Mkuu wa 41 wa #UNESCO umeipitisha tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani.
Azimio hilo limepitishwa na nchi zote wanachama wa UNESCO bila kupingwa, leo tarehe 23 Novemba, 2021, Paris nchini Ufaransa.
Tuko pamoja; na kama watahitaji walimu nipo tayari kujitolea kufanikisha hilo.
Limepitishwa Azimio hilo jana 23/11/2021; EAC, COMESA, SADC, ECOWAS na AU changamkeni kutimiza jukumu hili.