demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Ukitazama kwa umakini na ukaweka kando ushabiki na mapenzi utakuja gundua kuwa kwa kikosi hiki cha wakina Chibu Denis, Sakho na pimbi wenzao wakina Banda utagundua dhahiri kuwa hakuna jambo jipya wanaweza kuja fanya kwenye safu ya ulinzi ya wakina Job & Bakari.
Ukizingatia zaidi mechi itachezwa katika uwanja usio rafiki kwa aina hii ya wachezaji wanao penda kukokota kokota hovyo mipira bila malengo ya kiweledi.
Cha zaidi kabisa ukizingatia mechi hiyo hapatokuwapo na CHAMA, Thadeo, Morrison wala Mkude, ndipo unapo choka zaidi.
Kwa kifupi sioni namna yeyote inayowezekana Simba waka maliza Ligi wakiwa na chochote kitu cha msimu 2021/22.
Sio matumaini yeyote ya Ushindi siku hiyo, unless uwe na kichwa kigumu kung’amua facts.
Ukizingatia zaidi mechi itachezwa katika uwanja usio rafiki kwa aina hii ya wachezaji wanao penda kukokota kokota hovyo mipira bila malengo ya kiweledi.
Cha zaidi kabisa ukizingatia mechi hiyo hapatokuwapo na CHAMA, Thadeo, Morrison wala Mkude, ndipo unapo choka zaidi.
Kwa kifupi sioni namna yeyote inayowezekana Simba waka maliza Ligi wakiwa na chochote kitu cha msimu 2021/22.
Sio matumaini yeyote ya Ushindi siku hiyo, unless uwe na kichwa kigumu kung’amua facts.