Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Katika taathimini yangu katika maeneo 43 ambapo kuna chaguzi ndogo/marudio kwa hakika CCM inashinda kwa kishindo kikuu na kuna kila dalili matokeo kuwa 43-0.
Ushauri wangu kwa upinzani ni bora wawaondoe wagombea wao ili wajitathimini sababu za wananchi kuwachoka
Ushauri wangu kwa upinzani ni bora wawaondoe wagombea wao ili wajitathimini sababu za wananchi kuwachoka