YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Tarehe 25 May 2023 moto ulilipuka makao makuu ya wizara ya Ulinzi wa Russia Russia ikatoa statement zinazogongana
Watu waliona zimamoto kibao zikitoka kila kona zikienda kuzima moto wizara ya Ulinzi
Shirika la habari la Urusi.likasema kulikuwa na moto
Zimamoto wakasema kulikuwa na moto mdogo ukadhibitiwa mapema uliolipuka sehemu ya mapokezi ukazimwa na wafanyakazi shupavu wa kikosi zimamoto
Msemaji wa Serikali akasema hakukuwa na moto wowote lilikuwa tu zoezi la kawaida la kujiweka tayari just in case kuna moto!!!
Cha ajabu ulinzi uliowekwa kwa sasa wizara ya ulinzi ya Russia kwa sasa sio wa kawaida ni mkali kuliko.miaka yote
Source ::vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa
Watu waliona zimamoto kibao zikitoka kila kona zikienda kuzima moto wizara ya Ulinzi
Shirika la habari la Urusi.likasema kulikuwa na moto
Zimamoto wakasema kulikuwa na moto mdogo ukadhibitiwa mapema uliolipuka sehemu ya mapokezi ukazimwa na wafanyakazi shupavu wa kikosi zimamoto
Msemaji wa Serikali akasema hakukuwa na moto wowote lilikuwa tu zoezi la kawaida la kujiweka tayari just in case kuna moto!!!
Cha ajabu ulinzi uliowekwa kwa sasa wizara ya ulinzi ya Russia kwa sasa sio wa kawaida ni mkali kuliko.miaka yote
Source ::vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa