Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,079
Wanyama wangekua wanaongea kipindi kama hiki wangekuwa wanashauliana Wafanyaje kujiepusha na kuchinjwa
Mamboa Siasa na Sikukuu ya Krismasi wapi na wapi Mkuu? vipi umeutwika usiku huu?ni kama Chadema inavojadili wakati wa uchaguzi juu ya hofu ya kuibiwa kura na CCM..!! samahani ndugu zangu wa Lumumba ni mfano tu
Mamboa Siasa na Sikukuu ya Krismasi wapi na wapi Mkuu? vipi umeutwika usiku huu?