Tarehe 19 February ni Birthday ya Meneja bora wa Kampeni za Mgombea Urais Barani Afrika , Amani Golugwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,365
217,396
Happy Birthday Mpiganaji wetu @amani.sg Katibu wa Kanda ya Kaskazini. ( 682 X 640 ).jpg


Binafsi namtakia kila la heri na namuomba Mwenyezi Mungu ampe Maisha marefu .

Huyu mtu mambo aliyoyatenda kwenye ule ulioitwa uchaguzi mkuu wa octoba 2020 nchini Tanzania yatakumbukwa Daima
 
Heri ya siku yake ya kuzaliwa. Yes alionyesha uwezo wake ambao wengi hatuku ujua.
 
Back
Top Bottom