Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,970
Mwaka mmoja baada ya milipuko ya mabomu katika kambi ya jeshi gongolamboto umetimia leo huku wananchi walioathirika na milipuko hiyo wakiwa bado wanateseka.
Serikali kupitia ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam Said Meck Sadiq iliahidi kuwajengea nyumba waathirika eneo la kinyerezi lakini hadi leo hii hakuna kilichofanyika.
Kama serikali imeshindwa kuwajengea nyumba waathirika kama ilivyoahidi, kwanini isiwalipe fedha wajenge wenyewe? Au fedha zimeliwa kama tulivyosikia sh.1 bilioni zimefujwa ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa?
Serikali kupitia ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam Said Meck Sadiq iliahidi kuwajengea nyumba waathirika eneo la kinyerezi lakini hadi leo hii hakuna kilichofanyika.
Kama serikali imeshindwa kuwajengea nyumba waathirika kama ilivyoahidi, kwanini isiwalipe fedha wajenge wenyewe? Au fedha zimeliwa kama tulivyosikia sh.1 bilioni zimefujwa ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa?