Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Siku 90 zilizo tangazwa CCM chama kinacho tawala nchini TZ kupia kwa katibu wa uenezi wa CCM zitaishia aidha ni;
Siku ambayo mapacha 3 wataachia zote ndani ya CCM.
Siku ambayo CCM itajinasibu kinagaubaga kuwa sasa wamejivua Magamba ya UKWELI.
Siku ambayo CCM itaandika historia mpya ndani na nje ya chama na nchi kuwa sasa ni chama kitakatifu hivyo tukiamini kwa ari zaidi, kasi zaidi,
Siku ya kuanza ukurasa mpya wa uwajibikaji bila UFISADI ktk chama na " nchi " on opposite side !!!!
Ni siku ya kumuumbua Nape kwa kuongea yale asiyoyajua na kufikiri nini anachosema.
Ni siku ambayo mafisadi watashangilia baada kushinda maamuzi ya chama na fikra za Nape.
Ni siku ya Nape kujilaumu kwa kuongea mambo ya wakubwa kabla hajapewa SEMINA ELEKEZI ya namna ya kuchakachua minute za vikao.
Ni siku ambayo NAPE ataambiwa rasmi kuwa CCM ina wenyewe kwake ni CCJ.
Ni siku ya kupeleka mbele siku 90 hadi 120 kwa Mjibu wa MUKAMA HIVYO TUNASUBIRI LIPI LITAFANYIKA KATI YA HAYO
Siku ambayo mapacha 3 wataachia zote ndani ya CCM.
Siku ambayo CCM itajinasibu kinagaubaga kuwa sasa wamejivua Magamba ya UKWELI.
Siku ambayo CCM itaandika historia mpya ndani na nje ya chama na nchi kuwa sasa ni chama kitakatifu hivyo tukiamini kwa ari zaidi, kasi zaidi,
Siku ya kuanza ukurasa mpya wa uwajibikaji bila UFISADI ktk chama na " nchi " on opposite side !!!!
Ni siku ya kumuumbua Nape kwa kuongea yale asiyoyajua na kufikiri nini anachosema.
Ni siku ambayo mafisadi watashangilia baada kushinda maamuzi ya chama na fikra za Nape.
Ni siku ya Nape kujilaumu kwa kuongea mambo ya wakubwa kabla hajapewa SEMINA ELEKEZI ya namna ya kuchakachua minute za vikao.
Ni siku ambayo NAPE ataambiwa rasmi kuwa CCM ina wenyewe kwake ni CCJ.
Ni siku ya kupeleka mbele siku 90 hadi 120 kwa Mjibu wa MUKAMA HIVYO TUNASUBIRI LIPI LITAFANYIKA KATI YA HAYO