Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Hangover! Damn it! Kwahiyo jamaa alimtwanga wife wake busu mpaka akachanganyikiwa? I have lots to learn!
Now u r learning.....that even Sajent could have some hangovers too
Hangover! Damn it! Kwahiyo jamaa alimtwanga wife wake busu mpaka akachanganyikiwa? I have lots to learn!
Ok....nimeamua kuwapotezea>>Asprin, Kaizer, Roya Roy, The finest kwa muda....
Nisamehe Finest.....hello and Goodbye for now!
Concentration inapungua....ngoja nitekeleze majukumu kwanza....
hiyo sasa adhabuHongera sajenti, kazeni buti kabisa hadi mfikie 70 years in marriage.
Now u r learning.....that even Sajent could have some hangovers too
name callinghongera sanjent na jackline mungu awasimamie mfike mbali zaid ya hapo.
Homie alinipigia asubuhi akiuliza wapi atapata supu
hhahahahah...suou kwa jumatatu ni kitu ya kawaida kiongozi.....lol
name calling
hiyo sasa adhabu
Hello Acid....!
noted with thanksKamanda unataka kumwamisha meza? Masanilo atampa mimba kule. Msamehe bure!
Hi dude!!!Hello Acid....!
Hongera sana Sajenti....in fact mambo yakienda fresh hata huko jeshini utapanda kutoka usajenti hadi kuwa Brigedia...the bottom line ni kwamba I wish u all the best kwenye the rest of your life, as much as God will provide you.
Meanwhile, kama Kadaa ameshatembea tembea angalia utaratibu uongeze kengine ya Mungu mengi....[/QUOTE]...Mkuu hapo kwenye red ndio mchakato umeanza...nashukuru kwa ushauri!!:tonguez:
...Nilishapitia magumu kidogo lakini mungu mkubwa jahazi likakaa sawa na safari inaendelea. nakubaliana na wewe ndoa ni tamu lakini kuna wakati huwa shubiri.Hi dude!!!
whats up my friend...
Nampongeza sana sajenti na akumbuke tu kwamba the first few years ni honeymoon, aombe iwe extended maana challenges za ndoa ni kasheshe
safi mkuu.... kaza buti, ndoa ndio heshima ya mtu mzima na wala si pesa!!!...Nilishapitia magumu kidogo lakini mungu mkubwa jahazi likakaa sawa na safari inaendelea. nakubaliana na wewe ndoa ni tamu lakini kuna wakati huwa shubiri.
...Nilishapitia magumu kidogo lakini mungu mkubwa jahazi likakaa sawa na safari inaendelea. nakubaliana na wewe ndoa ni tamu lakini kuna wakati huwa shubiri.
safi mkuu.... kaza buti, ndoa ndio heshima ya mtu mzima na wala si pesa!!!