kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 422
Tunakumbushana Tuu Maana Huku Mtaani Naona Bado Watu Wanatumia Mifuko Hiyo Ya Nailoni.
Mkumbushe Na Mwenzio!
Mkumbushe Na Mwenzio!
Hahahahaaa ipo mifuko mbadala ya hiyo iliyokatazwa nduguSawa,.tutaenda buchani na sufuria.
ipo wapi hiyo mifuko.wajinga nyie! ilitakiwa ianze kutumika miezi 6 nyuma ndo mngeleta huo upuuzi wenu! kwa hili makamba anataftiwa zengwe asipojiangaliaHahahahaaa ipo mifuko mbadala ya hiyo iliyokatazwa ndugu
Sawa,.tutaenda buchani na sufuria.
Hiyo ni marufukuHiki ndo kokoi chenyewe kinachokuja na kifungashio chake ambacho ni cha nailonView attachment 1099610
Ipi hiyo??isije kuwa vikapu...,!!!Hahahahaaa ipo mifuko mbadala ya hiyo iliyokatazwa ndugu
Hahahahaaa ipo mifuko mbadala ya hiyo iliyokatazwa ndugu
Ya karatasi!Mkuu hiyo mifuko mbadala ikoje,,, tunaomba ushirikiano
Mkuu tungepata kapicha ingependeza!Ya karatasi!
Mkuu vp kuhusu ivo vifungashio maana naona km sielewi elewi Ivi ebu yufafanulieni kidogoWamezuia mifuko tu, vifungashio vya plastic vitaendelea kutumika kama kawaida
Makamba alishasema uwaziri ni kama koti la kuazima. Yuko tayari kulirudisha kwa wenyewe.ipo wapi hiyo mifuko.wajinga nyie! ilitakiwa ianze kutumika miezi 6 nyuma ndo mngeleta huo upuuzi wenu! kwa hili makamba anataftiwa zengwe asipojiangalia