Tarehe 02/06/2016 vichwa vya habari vya magazeti vitaripoti hivi:

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Tarehe 02/09/2016 vichwa vya magazeti vitaandika hivi:

=Mwananchi; UKUTA wasambaratika kimya kimya!
=Nipashe; Operation UKUTA yaota mbawa!
=Mtanzania; Wajenzi wa UKUTA waingia mtini!
=Raia Mwema; UKUTA kigeugeu!
=Mwanahalisi; Polisi wafanikiwa kuzima Operation UKUTA!
Tanzania Daima; Makamanda watelekeza UKUTA!
 
Ndo matatizo ya UVCCM hamna akili mpo kama mangiri hata hujui ulichoandika tarehe na mwezi haviwiani na maelezo yako
 
=Mwananchi; UKUTA wasambaratika kimya kimya!
=Nipashe; Operation UKUTA yaota mbawa!
=Mtanzania; Wajenzi wa UKUTA waingia mtini!
=Raia Mwema; UKUTA kigeugeu!
=Mwanahalisi; Polisi wafanikiwa kuzima Operation UKUTA!
Tanzania Daima; Makamanda watelekeza UKUTA!
inaonekana wewe huna kazi kwasababu hata tarehe ya mishahara hujui.


swissme
 
=Mwananchi; UKUTA wasambaratika kimya kimya!
=Nipashe; Operation UKUTA yaota mbawa!
=Mtanzania; Wajenzi wa UKUTA waingia mtini!
=Raia Mwema; UKUTA kigeugeu!
=Mwanahalisi; Polisi wafanikiwa kuzima Operation UKUTA!
Tanzania Daima; Makamanda watelekeza UKUTA!
Mh hebu rekebisha tarehe
 
Dah! Tangu itangazwe hii Operesheni wanaoonekana wana mdadi nayo sana ni CCM na wala si CHADEMA. Sijaelewa ni kwa nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom