babayah67
JF-Expert Member
- Mar 28, 2008
- 493
- 79
Tunapoikaribia siku ambayo JK atatunukiwa Honorary Degree naambatanisha taratibu zinazofuatwa na UDSM kabla ya kuchagua jina la mtu atakayepatiwa degree hiyo ya upendeleo. Lengo hasa ni kuona ni namna gani taratibu zinavyowezesha mtu asiyestahili kupewa na anayestahili kutopewa.