mnyalukoloh
Member
- Jun 8, 2015
- 74
- 28
Msaada, kuna gari inauzwa Zambia na imesajiliwa inapiga kazi. Nikitaka kuileta Tanzania. Naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. Aina ya gari ni Rosa.
piteni mnisaidiemsada.
kuna gari inauzwa zambia na imesajiliwa inapiga kazi.nikitaka kuileta tanzania.naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje.
aina ya gari rosa