Sure mzee jk salamu tunatanguliza siku tukitresspass kwenye makazi yako askari wasitupige risasi we need u than ever before najua utasoma huu Uzi mzee we need you !!
Wakati wengine wanataka tuishi kama mashetani jk alitutakia maisha bora !!Ndo Rais wangu wa muda wote, alinipa boom asilimia yakutosha,nisingeweza pata hata haka kaelimu na kusaidia wadogo zangu kwa boom tu......live longer Jakaya angalau kauli mbiu yako ya maisha bora iliprove ktk familia yangu
Wakati wengine wanataka tuishi kama mashetani jk alitutakia maisha bora !!Ndo Rais wangu wa muda wote, alinipa boom asilimia yakutosha,nisingeweza pata hata haka kaelimu na kusaidia wadogo zangu kwa boom tu......live longer Jakaya angalau kauli mbiu yako ya maisha bora iliprove ktk familia yangu
Sure mkuu, saiz hali ngumu na gap la aliyenacho na Maskini linaongezekaWakati wengine wanataka tuishi kama mashetani jk alitutakia maisha bora !!
Hakika huyu baba Mungu ampe maisha marefu, alitoa ajira bila kuchoka,zaidi katoa boom hata kwa kozi ambazo kwa miaka hii ya Magu wanasema hazitambuliki. Wasio na elimu ya kutosha walifanya kazi, mishahara aliongeza japo kiduchu, wenye vyeti feki walikuwemo, wezi walikuwemo lakini bado pesa ilipatikana mtaani.Ndo Rais wangu wa muda wote, alinipa boom asilimia yakutosha,nisingeweza pata hata haka kaelimu na kusaidia wadogo zangu kwa boom tu......live longer Jakaya angalau kauli mbiu yako ya maisha bora iliprove ktk familia yangu
Eti anajitoa ufahamu...wamwache mzee wa watu apumzike... tukutane 2025 ndo basi litafika stendi now tupo porini na hakuna kituoHahaha kwani masimango ulimpa live?! Mi nadhani ulimsimangia himu humu?! Kama ndiyo, kwanini msamaha uwe live?!
Ushauri: huna haja kukutana naye, umesha omba msamaha nadhani umesamehewa, sasa piga kazi.
Siku nyingine usilaumu kwa vitu usivyo vifahamu. Jipe muda kufahamu, kwanini wamefanya walivyofanya, kisha ndio upongeze au kulaumu na kusimanga.
Hebu tuondoleeni unafki wenu hapa, Magufuli ameletwa na nani kama siyo huyo JK?Huyu MTU nilimchukia mno na nilimsimanga sana wakati wa utawala wake ila sasa nataka nikamuone nikamsalimu na nikamuombe msamaha kabla Mimi sijafa au yeye hajafariki
Jk nakukubali mno mzee nisamehe!!!!!!!
Hii ni thread uliyoianzisha wewe sio boss?Hebu tuondoleeni unafki wenu hapa, Magufuli ameletwa na nani kama siyo huyo JK?
Kwa lipi hasa la maana mpaka umkumbuke JK? Ufisadi wote huu na uozo wote ukifanyika chini ya nani?
Kwa hili Magufuli kanyaga twende mpaka tuheshimiane, maana kuna vijitu ni lazima vijifunze kwa njia ngumu.
Japo kulikuwa na ufisadi mwingi na mambo gani sijui lakini maisha yalikuwa na unafuu, bora hiyo kuliko kuambiwa hakuna ufisadi serikali inapesa za lakini ukiangalia hali za wananchi wengi ni mbaya. Yani yule mzee kwa kweli mimi nampongeza siwezi kumsahau alikuwa mvumlivu kiasi chakeHeshima ya jakaya na thamani yake imepanda kwa viwango visivyo vya kawaida kwa rais mstahafu!!!