Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Wakuu
Mie najiuliza sana hivi taratibu za kuanzisha redio ambayo siyo ya kijamii nchini Tanzania zikoje.
Kwani najisikia kuwa na mpango huo lakini sijui A wala B.Suala la vifaa na mtaji siyo shida tatizo ni kupata usajiri ,nafanyaje kwani website ya TCRA haina maelezo yoyote na siko Jijini Dar(Bongo)
Mie najiuliza sana hivi taratibu za kuanzisha redio ambayo siyo ya kijamii nchini Tanzania zikoje.
Kwani najisikia kuwa na mpango huo lakini sijui A wala B.Suala la vifaa na mtaji siyo shida tatizo ni kupata usajiri ,nafanyaje kwani website ya TCRA haina maelezo yoyote na siko Jijini Dar(Bongo)