kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 733
Hivi ni vitu gani tunapaswa kuvizigatia kwa wakati wa kuuza ama kununu mali kama vile nyumba , viwanja, shamba,n.k
Hapa tujuzane taratibu zinazohusika ikiwemo aina za document zinazohusika wakati wa mauziano
Nimehoji hayo kwasababu kumekuwa na wapigaji na matapeli wengi mijini kiasi kwamba usipokuwa makini unaweza ingizwa mjini na ukabaki na machungu yasiyo isha huku ukishindwa kujua ufanye nini. Huku maburungutu yako yakiwa yametoweka
Hapa tujuzane taratibu zinazohusika ikiwemo aina za document zinazohusika wakati wa mauziano
Nimehoji hayo kwasababu kumekuwa na wapigaji na matapeli wengi mijini kiasi kwamba usipokuwa makini unaweza ingizwa mjini na ukabaki na machungu yasiyo isha huku ukishindwa kujua ufanye nini. Huku maburungutu yako yakiwa yametoweka