F FADHILI KIKA Member Jun 10, 2013 6 0 Dec 24, 2013 #1 Hivi jamani ni upi ni utaratibu sahihi wa kumfukuza mfanyakazi wako ambaye ameshakutumikia zaidi ya mwaka mmoja na nusu hivi,ili sheria isikubane?
Hivi jamani ni upi ni utaratibu sahihi wa kumfukuza mfanyakazi wako ambaye ameshakutumikia zaidi ya mwaka mmoja na nusu hivi,ili sheria isikubane?
Mashaxizo JF-Expert Member Jun 13, 2013 6,707 3,327 Dec 25, 2013 #2 Kwa nini umfukuze? Embu tuanzie hapo!