Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Kwa wanaosoma alama za nyakati kwasasa CCM haitajwi sana kama chama cha siasa ni chadema kwasasa ndio inayotajwa zaidi Kama chama Cha siasa Tena kinachoonewa na dola.
Kwasasa ni Polisi vs Chadema na sio Tena CCM vs chadema.
Mbaya zaidi polisi wanajua wanatumika vibaya Ila hawana ujanja wala pa kusemea.
Muda utaamuwa kati ya polisi vs Chadema Nani atakuwa mshindi Kama vile muda ulivyoitupa mkono CCM na kuibakiza Chadema kwenye medani za siasa Tanzania.
Kwasasa ni Polisi vs Chadema na sio Tena CCM vs chadema.
Mbaya zaidi polisi wanajua wanatumika vibaya Ila hawana ujanja wala pa kusemea.
Muda utaamuwa kati ya polisi vs Chadema Nani atakuwa mshindi Kama vile muda ulivyoitupa mkono CCM na kuibakiza Chadema kwenye medani za siasa Tanzania.