Taratibu naiona Magic fm ikigeuka propaganda tunnel ya Serikali na CCM

ankai

JF-Expert Member
Nov 25, 2017
3,280
4,236
Kiukweli hiki kituo cha radio kimeanza kubadilika kwa kasi sana kuelekea kuleee kwenye kuunga mkono juhudi za mh maana sasa vipindi vyote ni vyenye positive thought dhidi ya serikali na chama chake content zote ni zenye positive thought tu dhidi ya serikali na Ccm.

Ikitokea muandishi akawa na mawazo yenye mrengo tofauti na Serikali ama chama chake basi anahamishwa kipindi ama kuhamishwa kitengo kabisa espc kumtoa kwenye utangazaji na kumpeleka kwenye vitengo vingine uko ambavyo hatosikika.

Mfano ni hiki kipindi chao cha asubuhi ambacho kinaitwa morning na Magic kipindi hiki kilijizolea umaarufu mkubwa sana kwa watu na rika tofauti kipindi hiki kilikuwa kinamaudhi yaliyokuwa yanabalance pande zote mbili.

Upande wa Serikali na upande wa wananchi ikiwa na maana ya kuisifia kuikosoa kuionya kuielekeza na kuiuliza Serikali lakini na pia kilikuwa kikifanya ivyo ivyo kwa upande wa wananchi, lakini ghafla kipindi siku hizi kimekuwa cha upande mmoja tu wa Serikali na chama chake yaani ni kuisifia tu Serikali na chama chake na pia ni kuuponda kuukandamiza tu upinzani.

Anyway sijui nini kimetokea lakini naona Magic fm muda si mrefu inakamilisha safari na mchakato wote wa kuwa chombo kamili cha propaganda cha Serikali na chama chake.

A..........


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Ccm si imeinunua channel tena na makando kando yake? Au naota?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huna habari kwamba sasa Chanel ten ni mali ya ccm?
Kiukweli hiki kituo cha radio kimeanza kubadilika kwa kasi sana kuelekea kuleee kwenye kuunga mkono juhudi za mh maana sasa vipindi vyote ni vyenye positive thought dhidi ya serikali na chama chake content zote ni zenye positive thought tu dhidi ya serikali na Ccm.

Ikitokea muandishi akawa na mawazo yenye mrengo tofauti na serikali ama chama chake basi anahamishwa kipindi ama kuhamishwa kitengo kabisa espc kumtoa kwenye utangazaji na kumpeleka kwenye vitengo vingine uko ambavyo hatosikika.

Mfano ni hiki kipindi chao cha asubuhi ambacho kinaitwa morning na Magic kipindi hiki kilijizolea umaarufu mkubwa sana kwa watu na rika tofauti kipindi hiki kilikuwa kinamaudhi yaliyokuwa yanabalance pande zote mbili upande wa serikali na upande wa wananchi ikiwa na maana ya kuisifia kuikosoa kuionya kuielekeza na kuiuliza serikali lakini na pia kilikuwa kikifanya ivyo ivyo kwa upande wa wananchi, lakini ghafla kipindi siku hizi kimekuwa cha upande mmoja tu wa serikali na chama chake yaani ni kuisifia tu serikali na chama chake na pia ni kuuponda kuukandamiza tu upinzani.

Anyway sijui nini kimetokea lakini naona Magic fm muda si mrefu inakamilisha safari na mchakato wote wa kuwa chombo kamili cha propaganda cha serikali na chama chake.

A..........


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nasikiliza magic fm kipindi cha michezo saa mbili mtangazaji Baba George, lakini Tangia inunuliwe na CCM siku hizi ikifika saa mbili najiunga na CRI 94.5 mchezo nangojea sports bar 88.5fm kweheri baba George!
 
Back
Top Bottom