Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
- Kwa wajuzi wa sheria. Je mtu kama alifunga ndoa kanisani na ikatokea wakakorofishana na mwana ndoa mwenzie (mfano mwanaume anampiga mke wake na kutishia kuuza mali zote na kutoweka) na wameishi kwa zaidi ya miaka 20. Je Mwanamke anaweza kwenda mahakamani kudai taraka ili wagawane vilivyopo au mpaka church tu?
- Na je sheria zetu zinasemaje juu ya tendo la wanandoa. Ikitokea mwanaume kamlazimisha mke tendo la ndoa na mwanamke akawa hata, hivyo ikapelekea mwanaume kumpiga mkewe au kumbaka, je mwanamke anaweza kwenda mahakamani kumshitaki mume kwa ubakaji?
Naomba muongozo!