Tarajio lako la kuoa au kuolewa lilikuwa ni lipi?

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,269
40,054
Wengi wanapenda kuwa na wapenzi na hatimaye kufunga ndoa; Swali, Je tarajio lako la kuoa au kuolewa lilikuwa ni kwa ajili ya kupata watoto, kupata utamu, kuondoa upweke, au kuwaridhisha watu wanaokuzunguka kuwa upo kwenye mahusiano au ndoa?
 
Back
Top Bottom