kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Kama Rais hatatangaza baraza lake la mawaziri mpaka kesho, tarajieni baadhi ya vigogo kukimbizwa Hospitali kwa presha, maana utake usitake kuna vigogo wanaamini kuwa wao hawatakosekana kwenye baraza hilo, hivyo kuchelewa kutajwa 'presha inashuka , presha inapanda'
La kufikirika ni kwamba kwa kuwa si muhula wa kwanza kwa Rais na kwa kuwa amechelewa kutaja baraza hilo basi tutarajie mabadiliko makubwa, na kama hakutakuwa na mabadiliko tutajiuliza kwa kuwa si muhula wa kwanza kwa Rais, kuchelewa huko kutaja kumetokana na nini? Wanajamvi kazi kwenu...........
La kufikirika ni kwamba kwa kuwa si muhula wa kwanza kwa Rais na kwa kuwa amechelewa kutaja baraza hilo basi tutarajie mabadiliko makubwa, na kama hakutakuwa na mabadiliko tutajiuliza kwa kuwa si muhula wa kwanza kwa Rais, kuchelewa huko kutaja kumetokana na nini? Wanajamvi kazi kwenu...........