Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Serikali ya japana imetangaza tar 13 iwe siku ya kuomba radhi kwa wenza wote wanaojua waliwahi kutoka nje ya ndoa zao ;hii ni kabla ya kuingia tar 14n siku yawapendanao ,...tar hii imepangwa rasmi siku ya maadhimisho kuomba radhi .ewe baba ewe mama wewe ndie unaejua ;usiingie FEB 14 ukiwa na unajisi mkononi;omba toba kwa mwenzako ili uweze kuisherekea tar 14 feb ukiwa na amani.....
Nawatakia heri wanandoa wote watakaopata moyo wa kuomba radhi
Valentine njema
Nawatakia heri wanandoa wote watakaopata moyo wa kuomba radhi
Valentine njema