TAPIKA NYONGO YAKO yoooote HAPA!!! USIAMALIZE NAYO 2013, INGIA 2014 UKIWA FRESH!!!!

Nilikasirika pale watu walipoanza kumshabikia ulimboka,na kuanze kusema wataje wataje,kuja kuwataja kimya,akaja zitto na mabilioni ya uswisi akasema ntawataja atu presha juu wataje,kaenda uswisi watu presha juu akirudi wenye mabilioni wataona,karudi kasema hatawataja,ikaisha hivyohivyo,wananchi wanachezewa kama watoto wadogo duhh pole sana Arushaone Baba V na wote waathirika wa kisaikolojia wa hii siri kali
 
Last edited by a moderator:
Mimi Madame B,
Naenda kupata Ndofu kwanza nikirudi ntaja tapika langu.

Lakini Arushaone sitapenda aione hiyo Post.
 
Last edited by a moderator:
Mijitu inayojifany iko sirias muda wote wakati likiwa kwa mkewe linakuwa pole kama broila
Watu waliokuwa wanajifanya eti wao wamajua mapenzi sana na jinsi ya kula tundi wakati ni wao ni 16 years,
Watu waliokuwa wanajifanya wanajua mapenzi sana wakati wana vibamia
Watu wote waliokuwa wanadharau wahudhuriaji wa jukaaa la chitchat
Modes kwa kuwa walikuwa wanaondoa thread bila hata kutuambia kwa sababu gani wameondoa
Lugha ambayo baadhi ya watu hasa wanafunzi wa chuo wanayoitumia kwenye jukwaa la siasa bila kujua kule kuna mababa zao ma mama zao na mahawara za mama zao (hawara sio tusi ila ni mpenzi ambaye sio rasmi) msinifikirie vibaya sijatukana mtu hapa
Nitarudi
 
Nina kinyongo na Erickb52 na Arushaone waliniahidi kreti ya Ndyofu kwa msisitizo Ndyofu na mpaka leo sijaliona wasikatishe mitaa ya unga lelo watarudi uchi bila hata boxer maana nawaagiza vijana wangu wawavue kila kitu na wawavutishe cha arusha
Halafu nina hasira sana na Mungi kanisemea kwa nitonye eti naendaga kwenye kwaya na sweetlady
 
Last edited by a moderator:
Nina kinyongo na Erickb52 na Arushaone waliniahidi kreti ya Ndyofu kwa msisitizo Ndyofu na mpaka leo sijaliona wasikatishe mitaa ya unga lelo watarudi uchi bila hata boxer maana nawaagiza vijana wangu wawavue kila kitu na wawavutishe cha arusha
Halafu nina hasira sana na Mungi kanisemea kwa nitonye eti naendaga kwenye kwaya na sweetlady

Usjali makamanda tupo.
 
Last edited by a moderator:
Hebu jitingishe tingishe Kipipi! Nilikuona jana ukiwa umefuraaa kwenye ule uzi hapo juu ukibishana na wajinga, hata Bishanga alibishana nao na leo kwa hasira kawaanzishia thread!

Nilikuwa sijafura bana, ila nilitaka waelewe kuwa hatukuingia JF kwa bahati mbaya!
Alafu uzuri mie nikilala nikiamka huwa nafuta makero yote.

Labda nifikirie kwa mustakhabari wa mwingine nje ya jukwaa!
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom