Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
joakina de mello uyo uyo mpenda vijana wadogo almaarufu serengeti boys a.k.a vingast anayevaa cheni za dhahabu miguuni almaarufu vikuku, mwenye **** kubwa utazani kabeba mzigo, mpenda vyeo na nyazifa uyo uyoooooo
.......kwa kweli sielewi lolote hii post ina maana gani!joakina de mello uyo uyo mpenda vijana wadogo almaarufu serengeti boys a.k.a vingast anayevaa cheni za dhahabu miguuni almaarufu vikuku, mwenye **** kubwa utazani kabeba mzigo, mpenda vyeo na nyazifa uyo uyoooooo
Embu edit Post yako na uondoe namba yake ya simu na jina lake. Kama aim ni kuwatahadharisha watu juu ya aina ya utapeli huitaji kuweka specific contact details zake.
Kama amekosea mpeleke maakamani akihukumiwa ndio umuanike hadharani. Huu ni uonezi. Je kama hukumuelewa? Au labda kweli anafanya hivyo vitendo lakini kama hajahukumiwa usimuhukumu.
Utapeli wenyewe unaonekana wa kisanii. Mtu gani anayetoa $18,000 kabla ya kupewa kazi!!!!!!! Hii haingii akilini. Kama kweli alikupa kazi anastaili malipo as long as wote mliagree kabla.
SHUHUDA
Junior MemberJoin DateFri Oct 2010Posts2Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts Rep Power0
joakina de mello uyo uyo mpenda vijana wadogo almaarufu serengeti boys a.k.a vingast anayevaa cheni za dhahabu miguuni almaarufu vikuku, mwenye **** kubwa utazani kabeba mzigo, mpenda vyeo na nyazifa uyo uyoooooo
Hao wanachama wapya hizo ndizo kazi zao sijuwi kule kwenye Utambulisho (Member Intro Forum) hawasomi sheria za hii
JamiiForums RulesSHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS
https://www.jamiiforums.com/utambulisho-member-intro-forum/61941-jamiiforums-rules.html
wakisha kujiunga tu wanaleta maneno
machafu kazi kweli hapa kwetu J.f
tumeingiliwa na wachafuzi wa lugha
naona huyu shuhuda ndie mwakawago mwenyewe. Am conviced ni mmoja kati ya senior jf members aliye amua kusajirg new name ili ajibu mapigo.
NAOMBA NIWATAHADHARISHE WABONGO WENZANGU HASA KINA DADA KUHUSU TAPELI WA KIUME ANAJIITA MIKE/STEVEN MWAKAWAGO....
IN SHORT UYU KAKA ANAJIDAI KUTUMA MSG NA KUJIDAI ANAKUFAHAM SANA NA PIA ANAJIDAI ANA QUALIFICATION KAMA YA MHUSIKA EG. KAMA MHUSIKA ANA MASTERS IN INTERNATIONAL TRADE BASI YEYE MWAKAWAGO ATAJIDAI NDO AMEMALIZA PHD YA INETRNATIONAL TRADE HAVARD UNIVERSITY NA NDO AMERUD ANAFANYA KAZI W.T.O. DAR ES SALAAM.....
HII IMENITOKEA MIE JUZI NA NLIPOONGEA NAE AKAJIDAI YUKO TAYAR KUNITAFUTIA KAZI IVYO NIMTUMIE EMAIL... FUNNY ENOUGH ANAJILENGESHA KWENYE STORY NA KUJIDAI ANAWAFAHAM SOME OF UR CLOSE FRIENDS....
KABLA SIJAMTUMIA NIKAAMUA KUMULIZA ONE OF MY FRIENDS AMBAE UYO MWAKAWOGA ANAJIDAI ANAMFAHAM....CHA AJABU RAFIKI AKANIAMBIA KAA MBALI NI TAPELI WA KUTUPWA NA PIA ALISHAWAHI KUMFWATA KWA GIA IYO IYO YA KAZI UN NA AKATAKA $18,000.....HUU NI WIZI NA UTAPELI WA WAZIWAZI....
NAOMBA MAMLAKA HUSIKA ZIMSHUGHULIKIE!!!
SWALI NI KUWA ANAPATAJE INFO ZA WATU?? AU ANA-ACCESS NA CVS ZA WATU KATIKA JOB SEARCH AGENCIES????
Address zake anatumia ni: drsteven1973@un.co.tz au mijusa1981@yahoo.com na simu ni +255 782 288845!!!!!!!
Usishangae mtu kutaka kutoa hela kabla ya ajira,kuna majuha humu nchini hujapata kuona.Kuna juha namfahamu,he quitted his job, alitoka hapa to south africa kukutana na wale jamaa wanaojidai wana hela sierra leone.wakampokea in a 5* hotel kila siku wanakula na kunywa,akatoa na vidola vyake vya kufanyia processing ya hiyo dili.jamaa wakaingia mtini wakamuachia na all hotel bills.ilibidi kichefuchefu kipitishwe kumkomboa huko!acha atuelimishe bana.Embu edit Post yako na uondoe namba yake ya simu na jina lake. Kama aim ni kuwatahadharisha watu juu ya aina ya utapeli huitaji kuweka specific contact details zake.
Kama amekosea mpeleke maakamani akihukumiwa ndio umuanike hadharani. Huu ni uonezi. Je kama hukumuelewa? Au labda kweli anafanya hivyo vitendo lakini kama hajahukumiwa usimuhukumu.
Utapeli wenyewe unaonekana wa kisanii. Mtu gani anayetoa $18,000 kabla ya kupewa kazi!!!!!!! Hii haingii akilini. Kama kweli alikupa kazi anastaili malipo as long as wote mliagree kabla.