Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,745
- 2,987
ni leo asubuh ktk gar la abiria naelekea A-city daktar feki wa tiba mbadala alikuwa anajinadi anatibu kisukar,kansa,kuongeza nguvu za kiume,kuondoa sumu mwilin na magonjwa mengi tu kwa siku tatu . Wakati anauza hiyo dawa yake mle ndani ghafla abiria mmoja aliyewah kutapeluwa na dr huyo akaamua kumtolea uvivu ndio watu kushtuka wanatapeliwa nae dr bingwa aka botanist akashuka faster na kupotea akiwa ameshakusanya kitita cha noti.
Nawashaur watanzania wenzangu tujenge mazoea ya kujisomea kupata ufaham wa mambo yanayotuzunguka hutatapeliwa au kudanganywa kizembe namba hii. Nawapa pole waliokaribishwa mjin
Nawashaur watanzania wenzangu tujenge mazoea ya kujisomea kupata ufaham wa mambo yanayotuzunguka hutatapeliwa au kudanganywa kizembe namba hii. Nawapa pole waliokaribishwa mjin