Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Moja ya mtu mjinga mshamba kutokea duniani
We mpigaji alafu unajianika mitandaoni..
Hii mitandao waliyoianzisha siyo wajinga
Ova
Ile ilikua inamsaidia kibiashara.
Moja ya mtu mjinga mshamba kutokea duniani
We mpigaji alafu unajianika mitandaoni..
Hii mitandao waliyoianzisha siyo wajinga
Ova
Wa Romania nomaaaHalafu naskia hawa Eastern Europeans hasa Lithuanian na Latvians wengi sana Uingereza wana watapeli sana pensioners kwenye ma ATMs
Halafu naskia hawa Eastern Europeans hasa Lithuanian na Latvians wengi sana Uingereza wana watapeli sana pensioners kwenye ma ATMs
Back 90 kama utakumbuka pana mzee mmoja alikuwa mpigaji anatembelea jeep alikuwa anapiga suti nyeupe alipenda kutembea na bakora akiwa na mademu wawili au watatu wakali sana alikuwa na mbwembwe kwa kwenda mbeleSana...ukiwa na pesa inabidi ukaze
Kweli uwe low key
Haya mamitandao pia yanawamaliza sana
Watu,sasa wee una post life style yako sjui magari,nyumba,uko na totoz kazi yko yenyewe
Mpigaji..sasa hapo si unajitengenezea bomu
Huyo jamaa kudakwa halali yake kabisa
Ova
Wamo wengi tu wadanganyi-ass. Deli yao kumbwa ni kuwa punda wa kusafirisha madwa yakulevya.Hawa jamaa ni smart sana aisee hata kama ni wezi. Hivi Bongo hatuna wajanja kama hawa? Kesho leta muendelezo mkuu
Huyu jamaa ana akili sana, sema hakuwa na akili timamu za kuzungusha pesa zake. Blood fool. Afu angeachana kabisa na mamitandao. Kenge kabisa
Eeh hela ikiwa nyingi lazma upagawe mkuu yani hapakaliki😅 hela huwa inawasha mda wote tena ukiwa limbukeni ni hatari zaidi!Uchizi na ushamba flan wa mshiko umepoteza wengI yaanI unakuwa na wenge flan wa kutaka watu wajue una pochi
Hela na kiu ya umaarufu huwa vinawamaliza wahuni mapema sana! Idriss alipopokea ile 500G tu alipagawa mno!Hela huwa haiwezi kukaa kimyaa mkuu itaropokaaa tu
Hela ya vyanzo halali huwezi kupagawa nayo kama ile ambayo inakuja ghafla bin Vuup! Mfano ukute umeshinda mkeka wa 1.5B ghafla toka sportpesa ukalipwa hela yako.Wapo watu hawasumbuliwi na mihemuko ya pesa ila ni wachache sana duniani
Hela ya vyanzo halali huwezi kupagawa nayo kama ile ambayo inakuja ghafla bin Vuup! Mfano ukute umeshinda mkeka wa 1.5B ghafla toka sportpesa ukalipwa hela yako.
Unaweza ukajikuta hata umeenda kupanga apartment masaki ya dollar 1000 kila mwezi na kulimit bata zako ziwe kanda ya kinondoni tu huku ukiwa na wapambe kama Diamond vile!
Hela inatia uchizi sana
Naunga mkono hoja mkuu😅Lakini pesa ambayo umetumia akili kuitafuta kwanza haiwezi kukupa kiwewe na haipotei hovyo ndio maana Dangote aliwahi kusema watu wengi wanapata mitaji duniani lakini kwakua pesa zile zimepatikana bila formular huishia kuwaaibisha wao wenyewe. Na pesa nzuri akasema ni ile unayoanza kuiplan taratibu hadi inaongezeka kamwe haiwezi ikaisha wala kukusumbua
Vingine hivi hapa vitapeli vya Nigeria nipo navyo kwenye group najaribu kuisoma mifumo yao wanayotumia kutapelia watu na hizi ndo mesej zao wanazochat.....Naunga mkono hoja mkuu😅
Popo wengi wamekulia kwenye umasikini pia wanapenda sifa sanaJamaa mjinga angekula kimya asingeshikwa.