Nakushauri uuweke tena huo wimbo..........shukuruni kwa kila JAMBO..................hERI WAFU WFAO KTK BWANA.........Huyu bila shaka hajaonja dhambi za Dunia hii, ni changamoto kwako Ujitahidi Uingie kwenye LANGO LA BWANA........Ili ukakutane nae tena KWENYE raha ya milele.........
Niseme kwa kifupi sana "POLE"
Poleni sana
Mwenyezi Mungu awafariji na kuwatia nguvu katika kipindi hiki kigumu. RIP in peace. lovely little angle.
Pole sana ndg, mungu ataiweka roho ya marehemu pale panapostahili.