Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,664
- 22,256
ZAKARIA NDEMFOO wa MACHAME KISIKI haya majina mawili likiwa la mtuma salami maarufu duniani kupitia idhaa za kiswahili za Marekani, Uingereza, Afrika Kusini, India, Sauti ya Ujerumani, Radio China na Sauti ya Injili (Ethiopia) na redio za Afrika Mashariki miaka ya sitini na kuendelea alifariki tarehe 17 / 01 / 2020. Mzee Zakaria ndiye mtanzania pekee aliyekuwa maarufu masikioni mwa watu duniani, enzi hizo Zakaria Ndemfoo na Machame Kisiki vilizagaa kwenye anga duniani na lugha ya kiswahili japo wengi hawakujua alikieneza kiswahili kwa njia ya salamu kupitia redio.
PUMZIKA PEMA MZEE ZAKARIA NDEMFOO.
PUMZIKA PEMA MZEE ZAKARIA NDEMFOO.