Tanzia ya Dkt. Dau kwa rafiki yake hayati Benjamin William Mkapa

Hizi ni fitina, huna ushahidi, unaongea usilo na ushahidi nalo na bado unalisimamia! Jambo usilolijua ni usiku wa giza. Kama dau alitenda hilo bila ya shaka Magufuli angemwadhibu.
Hata ukisearch humu utapata hizo habari na kamati ya bunge na CAG walikuwa wanachunguza hiyo miradi
 
Najaribu kuimagine Waislamu kwa mfano wangekuwa wakiomba maeneo na majengo ya Taasisi za serikali kila wiki kuendesha ibada zao hali ingekuwaje?

Leo ukienda kwenye vyuo vikuu vya Umma almost everyday jioni na kila wiki watu wanageuza lecture rooms kuwa nyumba za kuabdudia, kusali na kuimba nyimbo za kwaya na mapambio, Lakini huwezi kuwaona Wakiristo humu wakilisema hilo, Au waislamu wakimaindi. Lakini eti muislamu kusali ndani ya ofisi mchana muda wa lunch break kuna watu inawakereketa kwelikweli.

Tuache chuki za kidini
Nimesoma shule kibao majengo ya kuabudia yako kwa dini zote na sio wakristo pekee. Nimesoma Dar na Arusha. Chuo pia Dar kuna majengo ya kuabudia waislam na wakristo. Waliosahaulika labda wahindu na mabudha
 
Ndugu, Mbona hao waliomiletea hizo propaganda na uongo, hadi leo wameshindwa kuiendesha NSSF na linadidimia. Wakati wa Dau shirika linangara na linaleta faida, leo linatia hasara.

Tokea Dau aondolewe hadi leo viongozi wangapi wameondolewe kwa kishindwa kuliendesha shirika kiadilifu.

Kill the angel but give it uts due
Propaganda za uongo unamaanisha nini? Je alisingiziwa ufujaji wa miradi ya nssf kigamboni?ukifanya search humu au google utakutana na hizo habari
 
Nakumbuka nilisoma sehemu kuna mfanyakazi mstaafu wa White House anasema katika marais wote aliofanya kazi nao kuanzia Reagan mpaka Bush Junior anasema Bush ni watu wazuri na wakarimu sana!
 
Hata ukisearch humu utapata hizo habari na kamati ya bunge na CAG walikuwa wanachunguza hiyo miradi
Baada ya uchaguzi nini kimefuata? Nothing! Means he is innocent! Kuchunguzwa sio kukutwa na hatia
 
Nimesoma shule kibao majengo ya kuabudia yako kwa dini zote na sio wakristo pekee. Nimesoma Dar na Arusha. Chuo pia Dar kuna majengo ya kuabudia waislam na wakristo. Waliosahaulika labda wahindu na mabudha

Waislamu wana msikiti wao pale chuo kikuu na waliujenga wenyewe miaka ya zamani sana, na wakatoliki wana kanisa lao
Hawasalii kwenye madarasa. Ila kuna makundi ya walokole na madhehebu mengine ya kikristo wao ni kusalia kwenye madarasa daily!
 
Najaribu kuimagine Waislamu kwa mfano wangekuwa wakiomba maeneo na majengo ya Taasisi za serikali kila wiki kuendesha ibada zao hali ingekuwaje?

Leo ukienda kwenye vyuo vikuu vya Umma almost everyday jioni na kila wiki watu wanageuza lecture rooms kuwa nyumba za kuabdudia, kusali na kuimba nyimbo za kwaya na mapambio, Lakini huwezi kuwaona Wakiristo humu wakilisema hilo, Au waislamu wakimaindi. Lakini eti muislamu kusali ndani ya ofisi mchana muda wa lunch break kuna watu inawakereketa kwelikweli.

Tuache chuki za kidini
Hivi ile cafeteria kati ya Hall 4 na Hall 6 bado ni "kanisa" kila Jumapili?
 
Back
Top Bottom