Tanzia: Wakili Gaudiosus Evalister Ishengoma afariki dunia akiwa Hospitalini Aga Khan

Wakuu Kuna tabia inaendelea mitaani ambayo inaeneza virusi kwa kasi hasa wanaodhani wamejikinga. Mtu kavaa barakoa na anajitahidi kuweka distance lakini hayuko sensitive kwa anachoshika.

Unakuta mtu anatembea njiani kila nguzo au ukuta lazima ashike. Usiposhika utakufa? Baadhi yao nimewauliza kama ni lazima ashike? Hujui unakoshika kama kuna mwenye KORONA alishika na wewe unaichukua? Ukimwambia hivyo anastuka anakuangalia kama mjusi kambanwa na mlango.

Sehemu zenye Hatari kubwa ni kwenye majengo yasiyo na lift. Unakuta mtu anapanda ngazi anashika kiegemeo cha ngazi toka chini hadi juu.

Sehemu nyingine yenye hatari ni kwenye usafiri. Mtu anaingia kwenye gari anatembea akishika siti kama mgonjwa, huwezi kujitegemea? Gari limesimama Una haja gani kushika siti au chuma zilizopo ndani ya gari? Kwenye mwendo kasi mtu anashika vishikio vyote toka alipokaa hadi anatoka nje au kuingia ndani.

Virusi vinakaa kwenye chuma au vitu vigumu zaidi ya masaa nane hadi sabini na mbili. Tafiti zinaonyesha hivyo.

Baada ya kuwa makini kutoshika vitu hovyo, kutumia barakoa na vitakasa mikono, ukifika nyumbani ondoa nguzo zote ulizotoka nazo mjini na uziloweke kwa sabuni, Oga na vaa nguo zingine.

Naomba tushee huu ujumbe kwa kasi kuondoa ugonjwa wa kushindwa kupumua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dada wa tanga anasema vifo ni 10, nchi zote za hovyo hazijatest zaidi ya watu 1000. upumbavu mtupu
 
Nyama ya udongo!
Kifo haitambui umaarufu wako, mbele ya kifo hautambi.
Alaumiwe Remmy Ongala kwa lyrics hizo..

Ongala hana lawama, aliongea kilichopo, na huo ndio uhalisia wa umauti. Kifo hakina maarufu, fukara, mkurungwa, mnyonge, mzuri, mbaya woote lazima tuuonje umauti.
 
RIP Advocate Gaudius Ishengoma
IMG-20200428-WA0002.jpg
 
Tatizo ramani ya vita imefichwa! Hatujui hali ikoje ndio maana tuna relax tu kama vile hakuna kitu.
Hata adui yetu hatumjui vizuri Ana silaha gani Ana mbinu gani ili tufanye counter attacks
 
Huu ugonjwa wa kachangamoto ka upumuaji halafu unazikwa na watu kumi tu huu ni kaugonjwa hatari sana
 
Hii inchi ni masikini sana sijajua tupo kwenye imasikini huu
Nasikia PPE hanna mpaka watu wachange
Vifaa vya kipimia hamna corona changamoto mpaka hospital kubwa
Lockdown tumeogopa wananchi watakufa njaa
Suspect wanachanganywa kwenye tent moja
 
Back
Top Bottom