Ado Shaibu
Member
- Jul 3, 2010
- 99
- 108
TANZIA:
Chama cha ACT Wazalendo kinasikitika kutangaza kifo cha Diwani wake wa viti maalum katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Ndg. Tumaini Bigilimana ambacho kimetokea leo tarehe 03 Juni 2019 katika Hospitali ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam.
Taarifa za mazishi zitatolewa baada ya kuwasiliana na Ndugu wa Marehemu.
Mwanaharusi Bunduki, Katibu wa Kamati ya Program za Kijamii.
Tarehe 03 Juni 2019.
Chama cha ACT Wazalendo kinasikitika kutangaza kifo cha Diwani wake wa viti maalum katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Ndg. Tumaini Bigilimana ambacho kimetokea leo tarehe 03 Juni 2019 katika Hospitali ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam.
Taarifa za mazishi zitatolewa baada ya kuwasiliana na Ndugu wa Marehemu.
Mwanaharusi Bunduki, Katibu wa Kamati ya Program za Kijamii.
Tarehe 03 Juni 2019.