Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,604
M'babe m'babe mmoja mtata sana,alikuwa amewapangia hesabu mateja na ilikuwa haipungui hata sent na ikipungua alioenda kukabidhi alikuwa anachezea vikombe anapukutishwa za mfukoni kisha anafukuzwa kituoni hasimami hadi kwa utashi wa jamaa amruhusu tena na akimkuta kasimama bila idhini yake anamvunja mbavu...walikuwa wakimuogopa hakuna mfano.Jamaa alikuwa na territory ya ukweli aisee.