Tanzia: Team Diamond, Nevvo Msafi na Platnumzmond wafariki dunia

Una tatzo la uelewa mjomba,na ndo madhara ya kukaririshwa na mchungaj haya,..asee mi siwez bishana tena nawewe maana nmeona kuna kitu unamiss kikubwa,..na ndo tatzo kuubwa watu wanapindisha saana maneno na maana za haya maandiko,..

Haha,et "kumuombea na kuomba ni vitu viwil tofaut"..kwan hayo maomb yote una ya address kwa nan?...walokole bwana,maneno meeeng
Mm ninauelewe kuliko ww rafiki,halafu unabisha vitu ambavyo vipo wazii ila unataka mashauri yako ndio yasimame.2Timotheo 3:7.

~Sawa mkuu vile unaona ninamapungufu nimekubali,Mungu atanisaidie ila ukweli utabaki pale pale,na hauta jipinga kamwe.

~Vyote vitapita lkn neno litasimama
 
Una tatzo la uelewa mjomba,na ndo madhara ya kukaririshwa na mchungaj haya,..asee mi siwez bishana tena nawewe maana nmeona kuna kitu unamiss kikubwa,..na ndo tatzo kuubwa watu wanapindisha saana maneno na maana za haya maandiko,..

Haha,et "kumuombea na kuomba ni vitu viwil tofaut"..kwan hayo maomb yote una ya address kwa nan?...walokole bwana,maneno meeeng
Mm ninauelewe kuliko ww rafiki,halafu unabisha vitu ambavyo vipo wazii ila unataka mashauri yako ndio yasimame.2Timotheo 3:7.

~Sawa mkuu vile unaona ninamapungufu nimekubali,Mungu atanisaidie ila ukweli utabaki pale pale,na hauta jipinga kamwe.

~Vyote vitapita lkn neno litasimama
 
Una tatzo la uelewa mjomba,na ndo madhara ya kukaririshwa na mchungaj haya,..asee mi siwez bishana tena nawewe maana nmeona kuna kitu unamiss kikubwa,..na ndo tatzo kuubwa watu wanapindisha saana maneno na maana za haya maandiko,..

Haha,et "kumuombea na kuomba ni vitu viwil tofaut"..kwan hayo maomb yote una ya address kwa nan?...walokole bwana,maneno meeeng
Mm ninauelewe kuliko ww rafiki,halafu unabisha vitu ambavyo vipo wazii ila unataka mashauri yako ndio yasimame.2Timotheo 3:7.

~Sawa mkuu vile unaona ninamapungufu nimekubali,Mungu atanisaidie ila ukweli utabaki pale pale,na hauta jipinga kamwe.

~Vyote vitapita lkn neno litasimama
 
Una tatzo la uelewa mjomba,na ndo madhara ya kukaririshwa na mchungaj haya,..asee mi siwez bishana tena nawewe maana nmeona kuna kitu unamiss kikubwa,..na ndo tatzo kuubwa watu wanapindisha saana maneno na maana za haya maandiko,..

Haha,et "kumuombea na kuomba ni vitu viwil tofaut"..kwan hayo maomb yote una ya address kwa nan?...walokole bwana,maneno meeeng
Mm ninauelewe kuliko ww rafiki,halafu unabisha vitu ambavyo vipo wazii ila unataka mashauri yako ndio yasimame.2Timotheo 3:7.

~Sawa mkuu vile unaona ninamapungufu nimekubali,Mungu atanisaidie ila ukweli utabaki pale pale,na hauta jipinga kamwe.

~Vyote vitapita lkn neno litasimama
 
Mm ninauelewe kuliko ww rafiki,halafu unabisha vitu ambavyo vipo wazii ila unataka mashauri yako ndio yasimame.2Timotheo 3:7.

~Sawa mkuu vile unaona ninamapungufu nimekubali,Mungu atanisaidie ila ukweli utabaki pale pale,na hauta jipinga kamwe.

~Vyote vitapita lkn neno litasimama
 
Kwa jins ulivyoandika hata mtoto mdogo akisoma atajua tuu umeandika kwa nia mbaya..we wish eachother good luck,hata sku1 huwez msikia mtu anamuwish mwenzie kubaya,hata afe nan.sasa hii sjaiona kwako tuu,ni most ya watu wanaojifanya wameokoka ndo hua wako hvyo..na kaul zao zingne utakuta wakiona watu wana live their lives utawaskia ,.jiandalie maisha mbingun,achana na ya dunia,hyo kaul wanaitoaga kinafk sana,..au ile kaul ya "hilo dongo tuu ipo siku litaenda mavumbin"hapo wamemwona mdada kapendeza au mzur,..yaan walokole wengne ni watu wa ajab sana,aliekwambia Mungu ana mda na miner ishuz nan,Mungu ni mwema kwa watu wote ndomana hata jambaz akiomba msamaha anamsamehe bila kinyongo,ila milokole ndo ya kwanza ku hukum watu hapa dunian,..God has bigger stuffs to deal wit,..ungeifaham science ya dunia jins ilivyo,unge apreciate the power of God na kujua Mungu ni mkuu sana na ha deal na vitu vidogo dogo,na ndomana yuko kimyaa,watu wanalalamika kila siku na kulia makanisan ,anajua binadam anaweza tatua matatzo yake bila yeye,sasa kiila siku kumlilia.wenyew wanaona sifa..kuna bilions of stars,universe,planets,tena uskute kuna viumbe huko viing na sayar nying zeny viumbe,et akae apoteze mda na binadam,et amchome moto sjui nin,crap tuu kutishana watu watoe sadaka mchungaj aweke mfukon.PERIOD

Sijui umeandika nn sbb sijaelewa ila jamaa kusema mahali panapostahili Mbona ipo waz Muishi Mungu tutasema uwekwe panapostahil na Muishi shetan pia uwekwe panapostahil punguza Papara jamaa yupo sawa tu taman nawe kupata wokovu usiwe kama wafilisti jina la Yesu ni tamu mkaribie upate uzima
 
Binadam tumezoea kuombeana mazur.hyo kaul mwachie atoe mungu mwenyew,...,angekua mtoto ako au mama yako au mdogo wako ungetoa kaul hyo mbele za watu..ndomana nmesema walokole ni watu wa roho flan hiv wanazijua wao..

Kuishi kwa mazoea ndo yanayotupeleka kutotii sheria za Mungu uzinzi,uasherati, kuabudu sanamu , waganga yote mazoea hayo yaepuke mkuu Mungu anatupenda sana mpokee Yesu uone atakayokuonyesha iman tu
 
Bas hyo kauli mwachie mungu,si binadam tumezoea kuombeana mema,..hata sku1 huwez taka au waza nduguyo aende mahal pabay,angekua mdogo ako au mama ako ungetoa kaul hyo???
kwani hiyo kauli imeegemea sehemu gani?,motoni au peponi?
 
mkuu Napoleone binafsi sijaona kosa lolote kwenywe komenti ya mkuu Anakuja Yesu ,unaposema alale mahali pema peponi na Mungu amuweke mahali anapostaili hili neno la pili ndio lenye nguvu kwa sababu hujaingilia mamlaka ya Mungu, yeye ndiye atakayeamua amuweke jehanamu ama peponi kulingana na matendo yake,

tuendelee kukumbushana,
swali kabla hujaswaliwa,
na usipoingia kanisani ukiwa umesimama ,utaingia ukiwa umelala.
Na hata huko kanisani unaweza usiingie.

Saa ya kufa kwangu unijalie kifo chema ee Mungu wangu.
 
Yani kijana unajitanabaisha kama team diamond? Yani ukifa ukumbukwe kwa kuwa team diamond? Hiyo ndiyo purpose yako hapa duniani? Hiyo mdiyo faida ya uwepo wako chini ya mbingu? Huo ndio mchango wako to humanity?
 
Back
Top Bottom