Anakuja Yesu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 564
- 485
Unachozungumza inaonesha wazi huupend ulokole sababu za watu kadhaa!mchungaji wa kweli hakutishi ila anakwambia ukweli.biblia inasema kuishi ni kristo kufa ni faida,mwanzo inasema kwakua umeasi mavumbin utarud.ayubu 14 inasema siku za mwanadamu ni chache nazo zimejaa tabu.mkuu ukitaka usitishike ungekuwa kiumbe kingine na si binadamu.Kwa jins ulivyoandika hata mtoto mdogo akisoma atajua tuu umeandika kwa nia mbaya..we wish eachother good luck,hata sku1 huwez msikia mtu anamuwish mwenzie kubaya,hata afe nan.sasa hii sjaiona kwako tuu,ni most ya watu wanaojifanya wameokoka ndo hua wako hvyo..na kaul zao zingne utakuta wakiona watu wana live their lives utawaskia ,.jiandalie maisha mbingun,achana na ya dunia,hyo kaul wanaitoaga kinafk sana,..au ile kaul ya "hilo dongo tuu ipo siku litaenda mavumbin"hapo wamemwona mdada kapendeza au mzur,..yaan walokole wengne ni watu wa ajab sana,aliekwambia Mungu ana mda na miner ishuz nan,Mungu ni mwema kwa watu wote ndomana hata jambaz akiomba msamaha anamsamehe bila kinyongo,ila milokole ndo ya kwanza ku hukum watu hapa dunian,..God has bigger stuffs to deal wit,..ungeifaham science ya dunia jins ilivyo,unge apreciate the power of God na kujua Mungu ni mkuu sana na ha deal na vitu vidogo dogo,na ndomana yuko kimyaa,watu wanalalamika kila siku na kulia makanisan ,anajua binadam anaweza tatua matatzo yake bila yeye,sasa kiila siku kumlilia.wenyew wanaona sifa..kuna bilions of stars,universe,planets,tena uskute kuna viumbe huko viing na sayar nying zeny viumbe,et akae apoteze mda na binadam,et amchome moto sjui nin,crap tuu kutishana watu watoe sadaka mchungaj aweke mfukon.PERIOD
~Halafu mchungaji haitaji sadaka yako km Mungu amemuita anajua namna atakavyo mlisha,Elisha alilishwa na kunguru.halafu hizo minor ishu unazozisema mkuu Mungu si mtu,Mbinguni hakita ingia kinyonge na kumbuka ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu si nguvu za ubondia.
~Ww unahitaji tarasa sio la kuokoa ila la kuijua biblia kwa ndanibna ujue nn kinaendelea maana shida ipo.huwa hatuwaombei watu kubaya na ndio mana tunasema alazwe panapo stahili.maana matendo yake ndio yanapeleka roho haye ikae wap.
~Mkuu mbingu sio ukumbi wa harusi kwamba ukiwahi tu unakaa mbele,kazi uliyo ifanya duniani ndio inakupa nafasi mbinguni na kukupa taji ya aina gani.ss km ww unaona kutoa anakula mch.endelea kutotoa.biblia inasema "jiwekeeni hazina mbinguni ambako hakuna wezi wala kutu na huko ni salama"ss km unafikiri kuna benki na ya ww kuipeleka hiyo fedha sahau.
~KUFA NI LAZIMA NA BAADA YA KIFO NI HUKUMU.