samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,169
Jinga kabisa Wewe. Rudi darasani ujifunze maana ya "Mzalendo." "The Butcher of the Zimbabweans" unamwita "Mzalendo!!!?" Tena Kama Rais wetu atahudhuria mazishi yake na kumwita "Comrade" nitajua lao moja!!!
Mkuu nisome vizuri utanielewa, Mimi ni katika wale wasiomkubali huyu jamaa..
Hapo nilipo sema Mzaleno nimeweka alama ya mshangao nikishangaa Mzalendo aliyewahi kuwa Rais wa zimbabwe akaenda kuugulia na kufia Singapore wakati alikuwa ananafasi ya kujenga hospitali bora Zimbabwe na kusomesha madaktari ilihuduma hizo nzuri alizofuata Singapore angezipata hapohapo Zimbabwe..