TANZIA: Rais Mstaafu wa Zimbabwe, Robert Mugabe afariki dunia nchini Singapore alikokuwa anapatiwa matibabu

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Habari za hivi Punde zikiripotiwa na Shirika la habari la Uingereza BBC, ni Aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amefariki Dunia akiwa na miaka 95.

Habari zaidi zinakuja.


President Emmerson Mnangagwa

"It is with the utmost sadness that I announce the passing on of Zimbabwe's founding father and former President, Cde Robert Mugabe.

Cde Mugabe was an icon of liberation, a pan-Africanist who dedicated his life to the emancipation and empowerment of his people. His contribution to the history of our nation and continent will never be forgotten. May his soul rest in eternal peace."
 
Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe amefariki dunia.

Mmoja wa mwanafamilia ameithibitishia BBC kuwa, Robert Mugabe amefariki dunia akiwa na miaka 95.

Mugabe alikuwa nchini Singapore akipokea matibabu kwa muda mrefu.

Ameiongoza Zimbabwe kutoka 1980 mpaka 2017, alipong'olewa madarakani na makamo wake kwa msaada wa jeshi.

Taarifa zaidi zitaendelea kukujia.
 
Back
Top Bottom