MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Rest in Peace Mugabe.
Nilijua anatukana kilughaNi wewe unaleta lalai lalai rajun hapa!
Angalia usiwe wa kwanzaHuyo mtoa roho si angepitia na huku atusaidie.
Atusaidie nini mkuu!Huyo mtoa roho si angepitia na huku atusaidie.
Jinga kabisa Wewe. Rudi darasani ujifunze maana ya "Mzalendo." "The Butcher of the Zimbabweans" unamwita "Mzalendo!!!?" Tena Kama Rais wetu atahudhuria mazishi yake na kumwita "Comrade" nitajua lao moja!!!Mzalendo kafia Singapore, hawa wazalendo wa Africa shida sana aisee. Tumaini langu ni kwamba miaka yote aliyoongoza Zimbabwe angeweza kuwa amejenga mahospitali ya kisasa yenye kila kitu na amesomesha madaktari wengi wazawa maaa huu ndio msingi wa Taifa lolote duniani lenye dhamira ya dhati kuletea watu maendeleo. Nilitegemea angeugulia Zimbabwe a kutibiwa Zimbabwe labda sasa kama amemjengea kila mzimbabwe uwezo wa kutibiwa nje ya Zimbabwe akiumwa..