TANZIA TANZIA: Profesa Ward Mavura afariki dunia ndani ya ndege

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,377
58,384
image.jpeg


PROFESA MAVURA AFARIKI DUNIA NDANI YA NDEGE

Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Arusha (JKUAT), Profesa Ward Mavura amefariki dunia leo wakati akiwa kwenye ndege aliyokuwa akisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha.

Chanzo kimoja kilicho karibu na familia hiyo kimesema kuwa Profesa Mavura alikuwa anatarajia kwenda India kwa ajili ya matibabu.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom