Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Alikuwa mtu poa sana huyu padre, roho imeniuma sana. Mwalimu wangu wa kwanza wa Engilish. Kila jioni nilikuwa naenda ananifundisha English pale kwa ma padre. Dah.. imeniuma sana.Pole sana Askofu Ruzoka, Mapadre wenzake na Wakatoliki kwa ujumla wa Jimbo kuu la Tabora. Mungu amrehemu na kumpumzisha pema peponi. Amina.