Torch
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,200
- 1,116
Mhashamu Baba Askofu Ludovick Joseph Minde wa Jimbo Katoliki La Moshi anatangaza kifo cha Mh. Padre Bonaventura Kisamaka kilichotokea Leo Jumatano 03/03/2021 katika hospitali ya Mt. Joseph Soweto Moshi.
Mipango ya mazishi inaendelea na taarifa zaidi tutaendelea kukujulisha
Raha ya milele umpe eeh Bwana na Mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina.
Source: Radio Maria