Tanzia: Nimefiwa na mwanangu

Pole sana kwa msiba wa mwanao uliymtarajia..mungu awatie nguvu hasa mama yake aliyebeba miez tisa..awajalie wepes ktk kipind hiki nakuwapa moyo wakusahau na kisha awape mwngne kwa kadri ya haja ya moyo wenu
 
Jana nilifiwa na mwanangu wakati mama ake akiwa katika hatua za kujifungua, ni maumivu sana lakini naamini ni mapenzi yake Mungu.
Ninawashukuru wote waliofika kunijulia hari,waliotoa pole zao na nyote kwa pamoja, mimi sina cha kuwalipa ila ninamwomba baba Mwenyezi awape rehema zake na awabariki sana!
Amina.

Pole sana Mkuu....
 
Mungu akuimarishe na ukupe amani ya moyo.tumshukuru kwa kila jambo.Yeye mtoaji na Yeye ni mtwaaji.
 
Pole sana,Mwenyezi Mungu ni mwenye rehema,atakuvukisha katika kipindi hiki kigumu kama alivyoweza kutuvukisha tulio wengi huko nyuma katika hali kama yako.

Rest in peace angel xxx
 
Naomba umpe pole mwanamke mwenzangu zaidi najua maji ya moto bila mtt yanaunguza zaidi, mungu awape nguvu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom