samurai JF-Expert Member Oct 16, 2010 11,495 24,174 Oct 25, 2015 #102 Innalilah wainalilah,, pole sana kwa kipindi kigumu,, wote ni wapitaji tu hapa duniani,yeye mbele sisi nyuma..
Innalilah wainalilah,, pole sana kwa kipindi kigumu,, wote ni wapitaji tu hapa duniani,yeye mbele sisi nyuma..
Madrid86 JF-Expert Member Jul 12, 2015 1,328 692 Oct 25, 2015 #104 Pole sana. Mwenyezi Mungu akupe faraja katika kipindi hiki kigumu
jbmukulu Senior Member Jun 8, 2015 123 83 Oct 25, 2015 #106 Pole sana kaka! Kura yake ilikuwa muhimu sana, Mungu amlaze mahali pema
Mwigigi Juani Member Mar 23, 2012 42 9 Oct 25, 2015 #107 Kitoab pole sana kiongozi naomba Mungu awape faraja kstika wakati huu mgumu.
Simba Mangu JF-Expert Member Nov 24, 2010 350 71 Oct 25, 2015 #110 Kwake tumetoka kwake tutarudi mungu ailaze mahali pema peponi aamini
Pendaelli JF-Expert Member Feb 13, 2014 8,917 23,236 Oct 25, 2015 #113 Pole sana ndugu mungu awapeni uvumilivu
Elijah JF-Expert Member May 28, 2012 1,663 416 Oct 25, 2015 #114 Oh,pole sana mkuu kwa msiba mzito,mwenyezi Mungu awafariji
minzakunza Senior Member Oct 15, 2015 150 357 Oct 25, 2015 #116 Pole sana, Mungu akupe uvumilivu kwa kipindi hiki kigumu sana, RIP Baba
A ATA Member Oct 12, 2011 84 22 Oct 25, 2015 #118 kayaman said: rip mshua! Click to expand... Sote ni wa Allah na sote tutarejea kwake, Mungu awape moyo wa subra.Poleni sana
kayaman said: rip mshua! Click to expand... Sote ni wa Allah na sote tutarejea kwake, Mungu awape moyo wa subra.Poleni sana
S sily JF-Expert Member Feb 20, 2013 926 577 Oct 25, 2015 #120 Pole mkuu Mungu akupeni faraja ktk kipindi hiki kigumu.