Mbadala sahihi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 280
- 139
R.I.P
Ndio yupi kati ya hao wawili? Huyo ndio alitakiwa apewe kazi ta kuchora terminal III ya airport. Sio tule tuvichuguu tulitojengwa pale...
Ni yupi kati ya hao wawili?
Je alikuwa anaishi wapi?
Msipende kusifia merehemu,sifia mtu akiwa hai!
Utaona asaivi Mtu kama TUNDU LISSU ni mwanasheria anayesaidia sana utumgwaji wa sheria bungeni na kukosekana kwake mmeona Masheria ya Kodi na Miamala ya simu benki,mara sjui ya ubakaji wanafunzi hayaeleweki,angekuwepo bungeni je?
Sasa mnasubiri akienda zake Mbinguni ndo watu ooh,tuache siasa ,sijui u ccm huyu jamaa alikuwa hazina,alisaidia sana,oooh spika analia kumbe u afiki tu,Tambua na mpe mtu credit zake akiwa hai.
Ni yupi kati ya hao wawili?
Je alikuwa anaishi wapi?
Msipende kusifia merehemu,sifia mtu akiwa hai!
Utaona asaivi Mtu kama TUNDU LISSU ni mwanasheria anayesaidia sana utumgwaji wa sheria bungeni na kukosekana kwake mmeona Masheria ya Kodi na Miamala ya simu benki,mara sjui ya ubakaji wanafunzi hayaeleweki,angekuwepo bungeni je?
Sasa mnasubiri akienda zake Mbinguni ndo watu ooh,tuache siasa ,sijui u ccm huyu jamaa alikuwa hazina,alisaidia sana,oooh spika analia kumbe u afiki tu,Tambua na mpe mtu credit zake akiwa hai.
Inawezekana ila aliechora ramani ni che Bedda Amury.Mie niliambiwa soko hilo limejengwa na Waisrael! Mungu amlaze pema peponi.
Alikua anaishi Mbezi mwisho hapa stend mpya, ng'ambo ya Barabara pale kwenye fremu za maduka, ndipo kwa Bedda Amury, mara nyingi alikua anakaa pale anapata kilaji mzee wawatu taratiiibu. Ila amefia huko sinza kwenye nyumba yake nyingine.Ni yupi kati ya hao wawili?
Je alikuwa anaishi wapi?
Msipende kusifia merehemu,sifia mtu akiwa hai!
Utaona asaivi Mtu kama TUNDU LISSU ni mwanasheria anayesaidia sana utumgwaji wa sheria bungeni na kukosekana kwake mmeona Masheria ya Kodi na Miamala ya simu benki,mara sjui ya ubakaji wanafunzi hayaeleweki,angekuwepo bungeni je?
Sasa mnasubiri akienda zake Mbinguni ndo watu ooh,tuache siasa ,sijui u ccm huyu jamaa alikuwa hazina,alisaidia sana,oooh spika analia kumbe u afiki tu,Tambua na mpe mtu credit zake akiwa hai.
Mkuu kwani unajuaje kuwa wewe hutatangulia kabla yake ? Yaani wewe u-R.I.P kabla yake hivyo usiweze kushuhudia kitakachosemwa kuhusu yeye siku aki-RIP.Nasubiria sifa atakazopewa jamaa wa Mpwapwa pamoja na unafiki wao hawatasema ile ya kumchapa rungu mgombea mwenza kwenye mchujo wa ndani
Ni yupi kati ya hao wawili?
Je alikuwa anaishi wapi?
Msipende kusifia merehemu,sifia mtu akiwa hai!
Utaona asaivi Mtu kama TUNDU LISSU ni mwanasheria anayesaidia sana utumgwaji wa sheria bungeni na kukosekana kwake mmeona Masheria ya Kodi na Miamala ya simu benki,mara sjui ya ubakaji wanafunzi hayaeleweki,angekuwepo bungeni je?
Sasa mnasubiri akienda zake Mbinguni ndo watu ooh,tuache siasa ,sijui u ccm huyu jamaa alikuwa hazina,alisaidia sana,oooh spika analia kumbe u afiki tu,Tambua na mpe mtu credit zake akiwa hai.