soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Habarini wanajamvi.....
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) wilaya ya Karatu kimeondokea na Mwenyekiti wa Ndugu Moshi Darabe ambaye pia ni diwani wa kata ya Baray...
Mh Moshi Darabe amefariki njiani wakati akikimbizwa katika hospitali ya KCMC jioni ya Leo........
Mh Moshi Darabe ni mwanasiasa mkongwe na kamanda mpapanaji kwa muda mrefu......
Hakika Chadema imepoteza kiongozi Mahiri na Mpambanaji.........
We are dust and in dust we return
May the soul of our lovely comrade rest in enternal peace.........
R.I.P Darabe.