naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,065
Pumzika kwa Amani Muhingo, Nitakukumbuka jinsi Gazeti la Rai lilivyokuwa makini ila likatumia kuaminika kwake vibaya kwa kuwachafua Watu wote waliokua wanaonekana watakua tishio kwa wanamtandao kuingia Ikulu ingawa wengine zilikua ni kashfa za kweli ila Dr Salim sidhani kama atawasahau