tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Maamuzi mkongwe na muda mrefu Ahamed Manyema ametutoka leo ktk Hospitali ya Mkoa ya Rufaa ya Mwananyamala.
Msiba upo Makutano Mabibo Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Taarifa za kifo chake zimedhibitishwa na Mwanamuziki Mkongwa John Kitine.
Marehemu amefanya kazi ya music na bendi mbalimbali nchini na baadhi ya nyimbo zikirekodiwa Redio Tanzania Dar es salam (RTD) wakati huo leo ni TBC Taifa.
Mzee Ahamed Manyema ni mzaliwa wa Kigoma
Mzee Ahamed Manyema a.k.a Majini wa Bahari akiwa ktk msiba wa Shem Karenga enzi za uhai wake
Msiba upo Makutano Mabibo Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Taarifa za kifo chake zimedhibitishwa na Mwanamuziki Mkongwa John Kitine.
Marehemu amefanya kazi ya music na bendi mbalimbali nchini na baadhi ya nyimbo zikirekodiwa Redio Tanzania Dar es salam (RTD) wakati huo leo ni TBC Taifa.
Mzee Ahamed Manyema ni mzaliwa wa Kigoma