TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

Poleni sana wafiwa,inasikitisha kwakweli,na sisi tuliokuwa hai tujiandaye kwakuwa karibu na Mungu kwani hatujui siku wala saa...
Apumzike mahali salama, ila hilo la kuwa karibu na Mungu ni hofu tuliyojengewa na wenzetu. Familia yake wapate faraja na kusonga mbele na maisha ya kila siku ingawa kuna changamoto.
 
Nitakujibu law msiba huu. Tunafahamiana na tumeanzisha group la WhatsApp na zaidi kufahaminiana kifamilia. Hata kama unatumia fake ID hutakosa hata mtu mmoja mnayefahamiana. Waliopo huku wapo sehemu tunazoishi
JAMANI HUU MSIBA UNANIKUMBUSHA MSIBA WA MWANAJF DOTO MNZAVA MWEEEE SIKU ZINAENDA SANA
 
Back
Top Bottom